Friday 16 September 2016

FUNNY FACT:SMARTPHONE INAPOLETA HESHIMA NYUMBANI

Kwa wale washikaji na masista duu ambao wazazi wao wakali sana na hawasikilizwi, hasa DINGILII, FUNNY FACT ni kuwa muda pekee ambao unaweza kumzoea, kumpa masharti, kumbishia, kumuonya na kumshauri akakusikiliza  ni pale unapomfundisha kutumia vifaa vya teknolojia hasa simu za SMARTPHONE!
Wanakuwaga wapole sana kama wamemwagiwa maji vile!

Binti akimfundisha mzazi wake kutumia simu


No comments:

Post a Comment