Kwa wale washikaji na masista duu ambao wazazi wao wakali sana na hawasikilizwi, hasa DINGILII, FUNNY FACT ni kuwa muda pekee ambao unaweza kumzoea, kumpa masharti, kumbishia, kumuonya na kumshauri akakusikiliza ni pale unapomfundisha kutumia vifaa vya teknolojia hasa simu za SMARTPHONE!
Wanakuwaga wapole sana kama wamemwagiwa maji vile!
Binti akimfundisha mzazi wake kutumia simu |
No comments:
Post a Comment