Kampuni ya Apple imeshaingiza aina ya simu zake mpya iPhone7 kwenye matangazo ya biashara na zimeanzwa kuuzwa septemba 16, 2016.
Huku kampuni hiyo ikiwa imethibitisha aina hiyo mpya simu haitakuwa na tundu la kawaida la kifaa cha kusikilizia sauti yaani "headphone", ila itatumia vishikizi " adapter" vilivyobatizwa jina la kiteknolojiia la 'Apple Lighting' japo kampuni ya Moto Z na vifaa vya LeEco ya huko China ilizindua 'earphone' bila kisikizia sauti mapema mwaka huu hivyo kutangulia kwa ugunduzi.
Sasa ipo hivi, nikujuze?
Kampuni ya Apple imekuwa na "falsafa" ya kuacha mapema teknolojia wanayodhani imepitwa na wakati.
Hivyo kwa kukujali msomaji wangu nakuletea miongoni mwa orodha ya teknolojia zilizopitwa na wakati kwenye sekta hii ya mawasiliano na vifaa hamisha data tukielekea kwenye teknolojia mpya:
Huku kampuni hiyo ikiwa imethibitisha aina hiyo mpya simu haitakuwa na tundu la kawaida la kifaa cha kusikilizia sauti yaani "headphone", ila itatumia vishikizi " adapter" vilivyobatizwa jina la kiteknolojiia la 'Apple Lighting' japo kampuni ya Moto Z na vifaa vya LeEco ya huko China ilizindua 'earphone' bila kisikizia sauti mapema mwaka huu hivyo kutangulia kwa ugunduzi.
Sasa ipo hivi, nikujuze?
Kampuni ya Apple imekuwa na "falsafa" ya kuacha mapema teknolojia wanayodhani imepitwa na wakati.
Hivyo kwa kukujali msomaji wangu nakuletea miongoni mwa orodha ya teknolojia zilizopitwa na wakati kwenye sekta hii ya mawasiliano na vifaa hamisha data tukielekea kwenye teknolojia mpya:
Floppy Disk drive(1998), Dial up modem(2005), CD/DVD drive(2008), 30-pin connector(2012) na USB 3 ports(2015).
No comments:
Post a Comment