Kocha wa Atetic Madrd Diego Simeone (kushoto) na kocha wa Real Madrid Zindine Zidane |
Thursday 8 September 2016
FIFA YAWATIA 'LOCK' YA KUTOSAJILI REAL MADRID NA ATLETICO MADRID
FUNNY FACT: KUNA UNAFUU WA KUCHEPUKA NA MKE WA MTU?
7. Wanapatikana wanapohitajika na kama kabanwa anatoa reasonable excuses.
NUKUU KUNTU: UMUHIMU WA KUJADILI MASUALA YA KITAIFA KWA UHURU
Baba wa Taifa Mwalimu na Ndugu Julius K. Nyerere. |
Monday 5 September 2016
FUNNY FACT: MOURINHO BETRAYED CHELSEA
kipa Petr Czech |
Mohamed Salah katika mja ya mapambano yake |
Juan Mata(mwenye jezi) na Mourinho(katikati) wakiwa Man U |
NDEGE ZILIZOBEBA MIRAA MARUFUKU SOMALIA
POGBA HAKWENDA MAN U KUCHEZA TU, KUNA BIASHARA TAYARI IMESHANUFAISHA WATU!
Mourinho(kushoto) na Pogba |
Sasa ndivyo biashara imeshafanyika, Agosti 9, Paul Pogba kiungo mfaransa alivunja rekodi ya kuwa mshambuliaji bora duniani kwa kusajiliwa kwa pauni milioni 100, balaa ni kuwa wiki tatu za mwanzo pesa imerudi kwa kuuza jezi pekee, pauni milioni 200 Man U washazitia mfukoni na wanamalizia deni lao kwa Juve taratibu.
Achana hiyo mwenzake aliyesajiliwa toka PSG, Zlatan Ibrahimovic wiki ya kwanza tu kwenye mauzo ya jumla Man U walilamba pauni milioni 76. Zlatani akasema jezi yake itauza kurudisha hela walizomnunulia Pogba!
Unajua mawazo yao(Adidas na Chevrolet) ? Kibiashara tu kwenye mitandao ya kijamii kabla na baada ya kumsajili walisharudisha hela, cheki lile liubunifu #POGBACK si snapchat, tweeter, Instagram, blogs, websites, na facebook. Dunia ya kidigitali! Unajua soka la sasa linaangalia nini?
Mikataba ya udhamini klabu itapata, unadhani Man U ni "wajinga" kupelekea kukosa karibu dola milioni 100 kila mwaka toka kwa Adidas. Adidas walitaka kijana mwenye "mvuto" kuwepo kwenye picha za matangazo. Sababu moja nzito! Magari ya Chevrolet yalikuwa hayauzi sana UK na Ulaya, ishu kubwa ya kwanza waliyofanikiwa ilikuwa ni kumshusha Pogba kwenye uwanja wa mazoezi wa AON(AON Training Centre) ndani ya ndinga ya kifahari kali mpya ya Chevrolet Camaro(new model). Utamaduni wa zamani ulizoeleka kumtangaza mchezaji kupitia "press conference", sasa kuna ishu ya ziada za kufanya matangazo ya biashara zingine, mambo yanabadilika. Kwasasa biashara ya Chevrolet imeanza kukua vyema Uaya, sababu kwenzi nayo hiyo!
Pogba akiwa ndani ya Chevrolet Camaro akiingia uwanja wa mazoezi wa AON siku akitambulishwa |
Adidas wanaelewa biashara ikoje wikiendi ya septemba 10, kuna Manchester derby kati ya Man U na Man City, tayari washatoa viatu vipya aina ya "Adidas ACE16+Purecontrol Viper Pack" kwa kijana wao Pogba kwajili ya matangazo ni vya teknolojia ya hali juu asikubishie mtu!
WAKALA WA YAYA AMBWATUKIA PEP GUARDIOLA
Kiungo Yaya Toure akiwa na wakala wake, Dimitri Seluk(kushoto) |
WIZI WA KURA AFRIKA MBIONI KUFIKIA UKOMO
Wakati nchi ya Gabon ikikumbwa na machafuko baada ya uchaguzi mkuu kuisha uliomrejesha Rais aliyekuwepo madarakani Ali Bongo Ondimba, mwana wa Rais wa zamani Omari Bongo wataalamu wa mambo ya chaguzi wanadai udanganyifu wa matokeo barani Afrika unazidi kuwa mgumu, huku kwakuwa wananchi wenyewe wanasimamia vyema ulinzi wa kura, mashirika mbalimbali ya kijamii ambayo yamekuwa mstari wa mbele kufuatilia chaguzi mbalimbali, kukosoa pamoja na kuenea kwa teknolojia ya simu za mikononi.
Ijumaa ya wiki iliyopita kiongozi mkuu wa upinzani nchini Gabon, Jean Ping alijitangaza kuwa mshindi na Rais halali nchini Gabon na kutaka kurudiwa upya kwa uhesabuji wa kura, kufuatia madai ya Rais Ali Bongo kuwa aliibuka mshindi kwa kura zaidi ya elfu sita katika uchaguzi uliofanyika Agosti 27 mwaka huu. "Kwa chaguzi za hivi karibuni hasa Afrika ya Kati na Magharibi nchi za Senegal, Ghana na Cape Verde zinaonyesha jinsi gani demokrasia inavyokomaa" anadai ndugu Aboubacary Mbodji, katibu mkuu wa kundi la kudai haki la RADDHO.
Meneja wa tasisi ya siasa na utawala wa Afrika Magharibi(OSIWA), Mathias Hounkpe amesema kuwa kadiri miaka inavyozidi kwenda udanganyifu kwenye chaguzi unazidi kuwa mgumu.
Meneja wa tasisi ya Siasa na Utwala wa Afrika Magharibi(OSIWA, ndugu Mathias Hounkpe. |
Afrika Magharibi imekuwa katika wakati mgumu wa machafuko hasa yanayotokea Gabon na yale yaliyotokea Senegal na Burkinafaso miaka ya nyuma.
Nchi za Afrika Mashariki pia, ikiwemo Tanzania, Uganda na Burundi zimekuwa katika hali ya kuarifiwa kuwepo kwa udanganyifu kwenye chaguzi kutokana na baadhi ya wagombea kulalamika waziwazi kuwa wameibiwa ila hayajaleta mchafuko makubwa kama ilivyo hali ya Afrika Magharibi.
WASANII WAMEPOKEA VIBAYA STORI YA LIL WAYNE KUACHA MUZIKI
Aliandika kwenye Twitter: "Sasa sijiwezi tena, sipo poa kiakili, na naondoka kwa staha na nashukuru mashabiki wangu."
Hata hivyo, hajafafanua iwapo ataacha sekta ya uimbaji kabisa, au ataacha tu uimbaji wa muziki wa kufoka. Mwanamuziki huyo wa umri wa miaka 33 hata hivyo amesema hataki "kuonewa huruma".
Lil Wayne amekuwa akigonga vichwa vya habari hivi karibuni kwa visa mbalimbali, huku rapa Rick Ross akionekana kujibu maneno ya shabiki aliyehitaji Tunechi kusainiwa Maybach Music Group(MMG) kwa kuandika “Muunganishe Birdman kwenye simu”
Amekuwa na mzozo wa muda mrefu na lebo ya Cash Money Records inayomilikiwa na babaye kimuziki Birdman, kuhusiana kucheleweshwa kwa albamu yake ya 11, ambayo imepewa jina Tha Carter V. Alishutumu kampuni hiyo siku mbili zilizopita akitumbuiza na Drake mjini Miami.
Polisi Miami walifika nyumbani kwake kisiwa cha La Gorce baada ya mtu kupiga simu 911 akisema kulikuwa na ufyatuaji risasi. Habari hizo hazikuwa za kweli.
Lil Wayne WEEZY FVerified account@LilTunechi
I AM NOW DEFENSELESS AND mentally DEFEATED & I leave gracefully and thankful I luh my fanz but I'm dun
Hawa ni kati ya wasanii walioguswa;
Missy Elliott @MissyElliott @LilTunechi Prayers up 4 whatever u may be enduring right now this to will pass & may u find PEACE I will always be a fan of your work
Chris Clemons @chrisclemons91
@LilTunechi The game will never be the same!!! Long live the of my generation.
WASANII WAMEPOKEA VIBAYA STORI YA LIL WAYNE KUACHA MUZIKI
Aliandika kwenye akaunti yake ya twitter: "Sasa sijiwezi tena, sipo poa kiakili, na naondoka kwa staha na nashukuru mashabiki wangu."
Hata hivyo, hajafafanua iwapo ataacha sekta ya uimbaji kabisa, au ataacha tu uimbaji wa muziki wa kufoka. Mwanamuziki huyo wa umri wa miaka 33 hata hivyo amesema hataki "kuonewa huruma".
Lil Wayne amekuwa akigonga vichwa vya habari hivi karibuni kwa visa mbalimbali, huku rapa Rick Ross akionekana kujibu maneno ya shabiki aliyehitaji Tunechi kusainiwa Maybach Music Group(MMG) kwa kuandika “Muunganishe Birdman kwenye simu”
Amekuwa na mzozo wa muda mrefu na lebo ya Cash Money Records inayomilikiwa na baba yake kimuziki Birdman, ishu kubwa ni kuhusiana na kucheleweshwa kwa albamu yake ya 11, ambayo imepewa jina Tha Carter V. Alishutumu kampuni hiyo siku kadhaa zilizopita akitumbuiza na Drake mjini Miami.
balaa lingine ni la hivi juzi kati baada ya polisi wa Miami kufika nyumbani kwake kisiwa cha La Gorce baada ya mtu kupiga simu 911 akisema kulikuwa na ufyatuaji risasi. Habari hizo hazikuwa za kweli.
Lil Wayne WEEZY FVerified account@LilTunechi
I AM NOW DEFENSELESS AND mentally DEFEATED & I leave gracefully and thankful I luh my fanz but I'm dun
Hawa ni kati ya wasanii walioguswa;
Missy Elliott @MissyElliott @LilTunechi Prayers up 4 whatever u may be enduring right now this to will pass & may u find PEACE I will always be a fan of your work
Chris Clemons @chrisclemons91
@LilTunechi The game will never be the same!!! Long live the of my generation.
Sunday 4 September 2016
MOURINH0 KAMGEUKA SCHWEINSTEIGER
Makipa: David De Gea, Sergio Romero, Sam Johnstone
BECKHAM: MWACHENI ROONEY MPAKA ATAKAPOONA HAWEZI
Beckham ambaye aliichezea kwa mafanikio ya wastani timu ya taifa kuliko klabu alizopita alituma jumbe hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram kuelekea mechi dhidi ya Slovakia ambapo Rooney anakwenda kuvunja rekodi ya kucheza mechi nyingi ndani ya timu ya taifa leo usiku.
"Cheza mpaka muda utapofika huwezi tena......hakuna hisia unazopata ukiwa unacheza kwaajili ya Taifa lako ukiwa Wembley" alidai David Beckham.
Wayne Rooney kwa miezi ya karibuni ameonekana hayuko 'fit' na hasa wadau wakiona ni nafasi ya kipekee kuwaachia makinda waliopo.
Mshambuliaji nyota na nahodha wa Uingereza Wayne Rooney anatarajia kustaafu soka la kimataifa baada ya kumalizika kwa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 itakayofanyika nchini Urusi.
Nyota huyo aliendelea kudai kuwa michuano hiyo itakuwa nafasi yake ya mwisho kufanya kila kitu na Uingereza hivyo bado ataendelea kufurahia miaka miwili iliyobakia.
Kama Rooney akicheza mchezo wa Jumapili hii wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Slovakia, atakuwa amevunja rekodi ya David Beckham ya kucheza mechi nyingi katika timu ya taifa.
David Beckham na Wayne Rooney mwenye jezi no.10 kiindi wakiiwa wote timu ya taifa |
BECKHAM: MWACHENI ROONEY MPAKA ATAKAPOONA HAWEZI
Beckham ambaye aliichezea kwa mafanikio ya wastani timu ya taifa kuliko klabu alizopita alituma jumbe hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram kuelekea mechi dhidi ya Slovakia ambapo Rooney anakwenda kuvunja rekodi ya kucheza mechi nyingi ndani ya timu ya taifa leo usiku.
"Cheza mpaka muda utapofika huwezi tena......hakuna hisia unazopata ukiwa unacheza kwaajili ya Taifa lako ukiwa Wembley" alidai David Beckham.
Wayne Rooney kwa miezi ya karibuni ameonekana hayuko 'fit' na hasa wadau wakiona ni nafasi ya kipekee kuwaachia makinda waliopo.
Mshambuliaji nyota na nahodha wa Uingereza Wayne Rooney anatarajia kustaafu soka la kimataifa baada ya kumalizika kwa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 itakayofanyika nchini Urusi.
Nyota huyo aliendelea kudai kuwa michuano hiyo itakuwa nafasi yake ya mwisho kufanya kila kitu na Uingereza hivyo bado ataendelea kufurahia miaka miwili iliyobakia.
Kama Rooney akicheza mchezo wa Jumapili hii wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Slovakia, atakuwa amevunja rekodi ya David Beckham ya kucheza mechi nyingi katika timu ya taifa.
David Beckham na Wayne Rooney mwenye jezi no.10 kiindi wakiiwa wote timu ya taifa |
MAMA THERESA WA CALCUTTA ATANGAZWA KUWA MTAKATIFU
Mwanamama huyo wa Albania ambaye alifariki mwaka wa 1997 alianzisha shirika la hisani la kimishenari ili kuwasaidia wasionacho katika mtaa wa mabanda wa Calcutta nchini India.
Hivyo kuanzia sasa ataitwa mtakatifu Teresa wa Calcutta.
Waandishi na wataalamu wa mambo wanasema kuwa maisha yake yanaenda sambamba na maono ya Papa Francis kuhusu kanisa linalojikakamua kuwasaidai watu masikini.
Lakini wakosoaji wanasema kuwa Mama Teresa hakuwasaidia watu waliokuwa wagonjwa na alilaumiwa kwa kujaribu kuwabadilisha dini watu masikini wa kabila la Hindu nchini India kuwa Wakristo.
Mama Theresa |
TAIFA STARS HAINA REKODI DHIDI DHIDI YA SUPER EAGLE
Taifa Stars imeshindwa kuvimba ili kuitafuta rekodi iliyowekwa na Wanaigeria katika mechi nane za kimataifa walizokutana.
Mchezo wa jana uliochezwa uwanja wa Akwa Ibom huko Nigeria, ulikuwa wa mwisho wa kundi G katika hatua za kufuzu AFCON 2017 huko Gabon dhidi ya Super Eagles, mchezo ulikwisha huku mshambuliaji kijana wa Man City, Kelechi Iheanacho akitupia dakika ya 77.
Kwa goli hilo ndoto za Taifa Stars iliyokuwa ikiongozwa na nahodha wake Mbwana Samatta anayekipiga klabu ya Genk ya huko Ubelgiji ziliishia kuambulia historia ya sare ya mechi tatu na kufungwa mechi tano(ya jana ikiwemo) hivyo hakuna "ubabe" wowote kwa Taifa Stars dhidi ya Super Eagle iliyoongozwa na kiungo mkongwe Mikel Obi na mshambuliaji machachari Ahmed Mussa.
Mafarao wa Misri ni kati ya waliopenya ndani ya kundi la G.