Vyanzo vya karibu na Wayne kupitia mtandao wa TMZ vimeeleza, rapa Wayne
amelaumu baada Tyga kuwa huru, kufunguliwa mlango kwa ajili yake kutia saini
mkataba mpya na G.O.O.D. Kanye West Music. Tatizo ni ..... alikuwa Young Money, ambapo Weezy ni mwanzilishi mwenza na mmiliki 49%.
Monday 19 September 2016
LIL WAYNE, "AWAMAINDI" CMB KWANINI TYGA ASEPE?
Bifu kati ya Lil Wayne na Birdman limechukua sura mpya baada ya Wayne kumaindi
kwanini CMB kuruhusu Tyga kusaini G.O.O.D Music kwa kudai kuruhusu
Tyga -mmoja wa wasanii wake “under” YCMB
kusepa bila hata mjadala kidogo.
Tyga aliyekuwa memba wa Young Money amesaini siku za
karibuni kwenye lebo G.O.O.D Music ya
Kanye West ambapo anatazamiwa kuwepo
kwenye album ya G.O.O.D Music ya “Cruel Winter” inayotarajiwa kutoka mwakani, huku ukaribu na
familia ya kardashian ukizidi kuongezeka baada ya kuwapo na uhusiano na Kylie
Jenner pamoja na demu wake wa zamani Blac Chyna aliyechumbiwa na kaka wa Kim,
Rob.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment