Friday 16 September 2016

NUKUU KUNTU: MISIMAMO YENYE TIJA IKO VIPI?


"Katika siasa, kuwa na misimamo yenye tija ni msingi mkuu. Nyimwa kila kitu lakini usinyimwe misimamo katika masuala ya msingi. Na kwa hiyo, katika ndoa, biashara, shughuli yoyote, taaluma na maisha ya kila siku, msimamo ni nguzo yako kuu! Unapokuwa na misimamo yenye tija inahitajika tu wenzako waijue na waiheshimu, huna haja kutumia nguvu kubwa sana kuionesha. Usiogope kuwa na msimamo wenye tija kwenye kila jambo la msingi".                                                                                                   

Julius S. Mtatiro, kiongozi  mwandamizi wa chama cha CUF na mchambuzi wa masuala ya kisiasa.

No comments:

Post a Comment