Friday 16 September 2016

FUNNY FACT: KWENDA DARASANI KUNA FAIDA


Mbwa koko wawili walikuwa wanasaka chakula kwenye jalala, mara ikapita Land Rover ya FFU na ndani yake kuna mbwa wa polisi. Mbwa koko mmoja akaangalia kwa uchungu kisha akamwambia mwenzie, 'Unaona wenzetu waliosoma, wale wanaenda kazini.

SOMO: Elimu ina nafasi kwenye maisha ya mtu hasa ukiitumia vyema.







No comments:

Post a Comment