Watanzania Diamond,
Harmonize na dj Dommy wameshinda tuzo Afrimma(African Music Magazine Awards)
2016 ambapo mwanamuziki Diamond ameshinda tuzo hiyo katika kipengele cha msanii
bora wa kiume kwa upande wa Afrika Mashariki. Vilevile Harmonize ambaye
amesainiwa WCB nae ameshinda tuzo ya msanii bora chipukizi barani Afrika. Kwa
upande wa Dj dommy ameshinda tuzo ya Dj
bora Afrika. Mdada Akothee kutoka Kenya ameshinda tuzo ya msanii mora wa
mike Afrika Mashariki. SautiSol kutoka Kenya wameshinda tuzo ya Kundi
Bora Afrika. Kwa upande wa Afrika Magharibi mwanadada Efya wa Ghana ameshinda
kipengele cha msanii bora wa kike Afrika Magharibi alichokuwa akishindana na wakali
kama Yemi Alade(Nigeria) na Tiwa Savage(Nigeria).
LIST NZIMA YA WASHINDI WA
AFRIMMA 2016 HII HAPA:
Best Male West Africa – Olamide (Nigeria)
Best Female West Africa – Efya
Best Male North Africa – Amr Diab
Best Female North Africa – Ibtissam
Best African DJ USA – Dj Dee Money
Best Male Central Africa – C4 Pedro
AFRIMMA Video of the year – Brother brother Bisa Kdei
Best Female Central Africa – Daphne
Music Producer of the year – Masterkraft
Best male South Africa – AKA
Best African Dancer – Brenda Derry ( Cameroon)
Best Female Southern Africa – Chikune
Best Rap Act – Phyno (Nigeria)
Best African Group – Sauti Sol (Kenya)
Best collaboration – Reggae blues ( Harrysong, Kcee) Nigeria
Crossing boundaries with Music
– Wizkid (Nigeria)
Song of the year – Tecno Duro (Nigeria)
Best Gospel Act – Willy Paul (Kenya)
Best Male East Africa – Diamond Platnumz ( Tanzania)
Artist of the year – Flavour ( Nigeria)
Best Newcomer – Harmonize (Tanzania)
Best Dancehall Act – Shatta Wale
Best Video Director – Patrick Elis
Carribean Artist of the year – Machel Montano.