Sunday 16 October 2016

DIAMOND, HARMONIZE NA DJ DOMMY WACHUKUA TUZO ZA AFRIMMA 2016

Watanzania Diamond, Harmonize na dj Dommy wameshinda tuzo Afrimma(African Music Magazine Awards) 2016 ambapo mwanamuziki Diamond ameshinda tuzo hiyo katika kipengele cha msanii bora wa kiume kwa upande wa Afrika Mashariki.  Vilevile Harmonize ambaye amesainiwa WCB nae ameshinda tuzo ya msanii bora chipukizi barani Afrika. Kwa upande wa Dj dommy  ameshinda tuzo ya Dj bora Afrika. Mdada  Akothee kutoka Kenya ameshinda tuzo ya msanii mora wa mike  Afrika Mashariki. SautiSol kutoka Kenya wameshinda tuzo ya Kundi Bora Afrika. Kwa upande wa Afrika Magharibi mwanadada Efya wa Ghana ameshinda kipengele cha msanii bora wa kike Afrika Magharibi alichokuwa akishindana na wakali kama  Yemi Alade(Nigeria) na Tiwa Savage(Nigeria).

LIST NZIMA YA WASHINDI WA AFRIMMA 2016 HII HAPA:
Best Male West Africa  Olamide (Nigeria)
Best Female West Africa  Efya
Best Male North Africa – Amr Diab
Best Female North Africa – Ibtissam
Best African DJ USA – Dj Dee Money
Best Male Central Africa – C4 Pedro
AFRIMMA Video of the year – Brother brother Bisa Kdei
Best Female Central Africa – Daphne
Music Producer of the year – Masterkraft
Best male South Africa  AKA
Best African Dancer – Brenda Derry ( Cameroon)
Best Female Southern Africa  Chikune
Best Rap Act – Phyno (Nigeria)
Best African Group – Sauti Sol (Kenya)
Best collaboration – Reggae blues ( Harrysong, Kcee) Nigeria
Crossing boundaries with Music – Wizkid (Nigeria)
Song of the year – Tecno Duro (Nigeria)
Best Gospel Act – Willy Paul (Kenya)
Best Male East Africa – Diamond Platnumz ( Tanzania)
Artist of the year – Flavour ( Nigeria)
Best Newcomer – Harmonize (Tanzania)
Best Dancehall Act – Shatta Wale
Best Video Director – Patrick Elis
Carribean Artist of the year – Machel Montano.


No comments:

Post a Comment