Monday 17 October 2016

VIDEO: RAIS JPM ADAI MASSABURI ALIKUWA NA WAKE WANNE AU WATANO

Rais JPM(kulia) akitoa neno kwenye ibada ya kumuaga Dk. Massaburi kwenye viwanja vya Karimjee
Mapema leo Okkoba 17 2016, ilikuwa ni shughuli ya kumuaga aliyekuwa meya wa jiiji la Dar Es Salaam Dk. Didas Masaburi(20101-2015) aliyefariki Oktoba 12, 2016.
  Sasa “stori” ni kuwa Rais John Magufuli  alitoa  bonge la “headline” wakati wa kutoa hotuba kwa wananchi baada ya msomaji wa wasifu wa Dk. Masaburi kutaja kuwa  marehemu ameacha mke mmoja, Rais Magufuli alipata nafasi ya kuzungumza na kusema anafahamu Dk. Masaburi alikuwa na wake wanne au watano na hata watoto anafahamu kuwa anao zaidi ya 20, aidha Rais Magufuli amewaomba watoto wa marehemu kushikamana na kuwa wamoja.
Kuangalia video hii bonyeza hapa


 Chanzo: Millardayo

No comments:

Post a Comment