Rais JPM(kulia) akitoa neno kwenye ibada ya kumuaga Dk. Massaburi kwenye viwanja vya Karimjee |
Mapema leo Okkoba 17 2016, ilikuwa
ni shughuli ya kumuaga aliyekuwa meya wa jiiji la Dar Es Salaam Dk. Didas
Masaburi(20101-2015) aliyefariki Oktoba 12, 2016.
Sasa “stori”
ni kuwa Rais John Magufuli alitoa bonge la “headline” wakati wa kutoa hotuba kwa
wananchi baada ya msomaji wa wasifu wa Dk. Masaburi kutaja kuwa marehemu
ameacha mke mmoja, Rais Magufuli alipata nafasi ya kuzungumza na kusema
anafahamu Dk. Masaburi alikuwa na wake wanne au watano na hata watoto anafahamu
kuwa anao zaidi ya 20, aidha Rais Magufuli
amewaomba watoto wa marehemu kushikamana na kuwa wamoja.
Chanzo: Millardayo
No comments:
Post a Comment