Saturday, 15 October 2016
SIMBA I KILELENI
LIST YA WACHEZAJI WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA, SAMATTA YUMO!
Tuesday, 11 October 2016
HAPPY EARTHSRONG "SHUJAA" SIR BOB CHARLTON
![]() |
| Sir Bob Charlton enzi zake. |
![]() |
| Sir Bob Charlton siku za karibuni |
Unakaribishwa kuacha comment yako hapo chini!
KINDA WA MIAKA KUMI ALA MKATABA JUVE
![]() |
| Kinda Rasheed Al Hajjawi |
![]() |
| Dembele akiingia uwanjani |
![]() |
| Dogo Rasheed akiwa Liverpool |
Sunday, 2 October 2016
DAR DERBY SIO SEHEMU YA KUCHEZEA HISIA ZA WATU
Na
Gilbert Nchimbi, SJMC
+255 657 215 404
Mpira wa miguu ni mchezo unaopendwa na watu wengi sana duniani kwa hapa Tanzania, klabu kubwa za Simba na Yanga zina mashabiki wengi mno ndio maana uwanja unajaa sana zikikutana.
Hawa watu wakikusanyika pale Uwanja wa taifa sio kama kuna sehemu wanalipwa, sio kama wanakodiwa mabasi kwenda kwenye ule mkusanyiko kama ambavyo tumezoea kuona kwenye mikutano ya siasa, mara huyu kapewa fulana huyu kapewa khanga, huyu kapewa kofia, huyu kakodiwa basi ili afike kwenye mkutano lakini kwenye mpira ni tofauti wale watu uliowaona pale uwanja wa taifa kushuhudia pambano la simba na yanga hawajakodiwa gari jumamosi ya jana wala hawalipwi kufika kuona ile mechi cha zaidi wale ndio huwa wanalipa pesa zao kuingia pale uwanjani yaani kinachowapeleka pale ni mapenzi na hisia zao walizonazo juu ya timu zao watu wanazipenda hizi timu watu wanapoteza fahamu kwa ajili ya hizi timu watu wamepoteza maisha sababu ya Simba na Yanga.
Sasa mnavyoleta masihara na hisia za watu wale pale uwanjani kwa kutuwekea marefarii ambao wanashindwa kusimamia sheria kumi na saba za huu mchezo wa soka kuna hatarisha sana maisha ya wapenzi wa huu mchezo tuwe makini na waamuzi makosa yao yanapelekea amani kuvurugika uwanjani watu wanashindwa kuvumilia zingatieni sana huu mchezo mpira wa miguu ni zaidi ya mchezo, mpira wa miguu ni maisha watu wanahitaji haki itendeke ili waishi kwa amani. Ni zaidi viti mia mbili kuharibiwa na baadhi ya watu kujeruhiwa hiyo jana.
Tusitake yanayotokeaga kwenye mechi za watani wa jadi kwenye nchi za wenzetu yatokee nchini kwetu ndo tuanze kulizingatia hili.
Tuesday, 20 September 2016
TOURE KUSTAAFU TIMU YA TAIFA KWA MALUMBANO YA WAKALA WAKE NA PEP
![]() |
| Yaya Toure |
Toure mwenye miaka 33 ametoa tamko leo nakusema "Ni maamuzi magumu kuyachukua ila waache wachezaji wengine wapate nafasi, nawashakuru kwa sapoti mliyotoa mashabiki wangu".
Huku anatangaza kustaafu balaa ni kuwa kocha wake wa Man city, Pep Guardiola kaeleza kuwa hatocheza mechi yoyote mpaka aombe msamaha kutokana na kauli za wakala wake.
Wakala wa Toure, Dimitri Seluk zaidi ya wiki moja iliyopita alidai "Kama atachukua taji la Ligi ya Mabingwa msimu huu, basi nitasafiri mpaka England na nitasema mbele ya luninga kwamba Pep Guardiola ni meneja bora kabisa duniani,” Seluk alinukuliwa na gazeti la Sunday Mirror.
Wakala huyo alizidi kung'aka kuwa ni wakati sahihi kwa mchezaji huyo kung’oa nanga kwenye kikosi hicho kwenye dirisha la usajili mwezi wa kwanza, pia ni ukandamizaji uliokikuka misingi kwa mteja wake kuwekwa nje hasa akiwa ni mchezaji aliyeibeba vilivyo Man City.
Sasa joto ya jiwe ipo kwa wakala wa Toure kujibu nakusema "si anataka (Pep) vita, atavipata...........anatakiwa amwombe msamaha Joe Hart, hawezi kumtoa mchezaji mwenye heahima yake England".
![]() |
| wakala wa Toure, Seluk(kushoto) na Yaya Toure |
Toure anastaafu baada ya kutumika kwa miaka 14.
COURTOIS: NATAMANI KURUDI MADRID
RASHFORD KUWA KINDA ANAYELIPWA ZAIDI DUNIANI
Monday, 19 September 2016
ETI KILICHOMTOKEA CASILLAS KWA MOURINHO KIPO NJIANI KWA ROONEY?
![]() |
| Casillas(kushoto) na Mourinho. |
Mashabiki wa United wanahisi Rooney anaweza kupigwa benchi na mwishowe kuuzwa kama vile Juan Mata.
![]() |
| Mourinho(kushoto) na Rooney. |
I do believe Mourinho when he says he has no problem dropping Rooney. This is the guy who dropped Casillas, dropped Terry and binned Lampard
Love how people think Rooney is undroppable when Jose has binned players like Adriano, Casillas & Mata. He obviously just deserves to start.
If Mou benched Casillas,I don't see how he hasn't benched Rooney yet...unbeliveable.
Can Mourinho grow some balls and bench Rooney? I mean he once benched Casillas.
He had the balls to drop Casillas, yet can't do it for Rooney? Come on now...
Honestly, Jose had the balls to bench Saint Iker Casillas so why can't he cart Rooney off to China where he belongs?
It's disgusting how one player has so much power over the club. Casillas was binned and he is a much bigger figure in football than Rooney.
Can't understand Jose
Sold Mata even though he was 2x player of the year
He dropped Iker Casillas
He can make Big calls
Bin Rooney #MUFC
The issue I have with Mou/Rooney is that he dropped bloody Iker Casillas. At Real Madrid! Binning a past it Rooney should be child's play...
Mourinho needs to drop Rooney, he dropped Casillas at Real Madrid there's literally no difference, played awful today again he's finished.

























