Casillas(kushoto) na Mourinho. |
Mashabiki wa United wanahisi Rooney anaweza kupigwa benchi na mwishowe kuuzwa kama vile Juan Mata.
Mourinho(kushoto) na Rooney. |
Huo umekuwa utabiri wa mashabiki wengi kwenye
mtandao wa “twitter” baada ya United kufungwa na Watford huku kiungo na nahodha
huyo kutofanya “tackling” na kupiga
shuti “on target” na zaidi kutohusishwa kwenye kikosi kwenye mechi ya Europa dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi.
Gundu kwa staa huyo aliyeshindwa kuibeba United kwa mechi
Man City na Watford kwa kufungwa ukiachilia ambayo hakwenda Uholanzi dhidi ya
Feyenoord, uwezekano wa kupigwa chini ni
rahisi kutokana na mawazo ya mashabiki hawa;
No comments:
Post a Comment