Zidane(kushoto) na Guardiola. |
Ni tukio la kihistoria kwa mchezaji wa zamani
na sasa kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane kwa mechi iliyopigwa usiku wa
jumapili(Sunday Night Football) ambapo Madrid waliibuka mpaka Espanyol pasipo nyota wao Christiano
Ronaldo na Gareth Bale na kushind goli 2-0. Ushindi huo uliowafanya kuwa juu
kwa pinti tatu dhidi ya mahasimu wa Barca kwa michezo mitano katika msimu mpya,
na zaidi kuwafanya Los Blancos kuwa na historia ya kushinda mechi mwanzoni mwa
ligi.
Ishu ni kuwa mpaka mechi ya jana Madrid
walishacheza michezo 16 mfufulizo bila kufungwa hivyo kuwa historia kwa bosi
wao, Zidane na hivyo kutarajia kuvunja rekodi ya mkatalunya Pep aliyeko Man City kwa sasa kwenye mechi yao ya jumatano dhidi ya
Villareal ndani ya dimba la Santiago Bernabeu.
Mpaka mechi ya jana Zizzou alifikia rekodi
iliyokuwa ikishikiliwa na Pep Guardiola.
Rekodi ilikuwa hivi;
Guardiola alikuwa anaongoza kwa mechi 16 bila
kufungwa ndani ya ligi ya Spain(La Liga) mpaka anaondoka na kutimkia Bayern na
hivi sasa Man City.
Madrid wamefunga magoli 51 na kushindwa mara 12 katika kipindi cha ushindi mfufulizo, ambapo wanaKatalunya
wamefunga magoli 60 na kushindwa mara 6 katika uongozi wao wa msimu wa
2010-2011.
Zidane enzi akiwa mchezaji Madrid |
No comments:
Post a Comment