Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta
yu miongoni mwa majina yaliyotangazwa na
shirikisho la soka Afrika CAF katika list ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya
mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2016.
Mtanzania Mbwana
Samatta ambaye ni mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015 kwa
wachezaji wanaocheza Ligi za ndani ya Afrika, safari hii
amepata nafasi ya kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ujumla kwa mara
ya kwanza akiichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
List nzima ipo hivi;
List ya majina 25 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa
Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika.
No comments:
Post a Comment