Saturday 15 October 2016

LIST YA WACHEZAJI WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA, SAMATTA YUMO!

Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta yu miongoni mwa majina yaliyotangazwa  na shirikisho la soka Afrika CAF  katika list ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2016.
Mtanzania Mbwana Samatta ambaye ni mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015 kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani ya Afrika, safari hii amepata nafasi ya kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ujumla kwa mara ya kwanza akiichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
List  nzima ipo hivi;
List ya majina 25 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika.




No comments:

Post a Comment