Friday 14 October 2016

TUJIKUMBUSHE: RAIS MSTAAFU BENJAMIN WILIAM MKAPA AKITANGAZA KIFO CHA MWALIMU

Leo ni kumbukumbu ya miaka 17 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, tukiamini kwa mengi mazuri  aliyoyatenda ila kwa vitendo vyenye weledi pekee.
Mwalimu Nyerere(kushoto) na Rais wa awamu ya tatu, Ndugu Benjamin Mkapa

Kwa kukumbuka siku hii, nakuletea video ya Rais mstaafu enzi hizo mwaka 1999, ndugu Benjamin Wliiam Mkapa akitangaza tanzia hii.
    Bofya hapa kutazama 

No comments:

Post a Comment