Friday 14 October 2016

NUKUU KUNTU: BUSARA ZA MWALIMU


Siku ya leo katika kukumbuka ya miaka 17 aliyotutoka Mwalimu Nyerere ni wasaa wa kutazama moja ya misimamo yake.
Mwalimu Nyerere

“Unyenyekevu ukizidi unazaa uoga, uoga huzaa unafiki na kujipendekeza, mwisho wake mauti”

No comments:

Post a Comment