Thursday 8 September 2016

FUNNY FACT: KUNA UNAFUU WA KUCHEPUKA NA MKE WA MTU?

Eti sababu 11 zenye unafuu kuchepuka na mke mtu, usiichukulie poa sana, kwasababu ukichukulia poa sana, FUNNY FACT ni kuwa kuna  sababu  nyingi zenye umuhimu. Zicheki zifuatazo;
1. Hawezi kuomba kodi ya nyumba maana mume wake ndio analipa.
2. Hawezi kuomba umnunulie gari mume wake atahoji.
3. Hawezi kutaka umnunulie vitu vya garama sijui iphone 7 mpya au Samsung galaxy.
4. Hakugandi kama luba, mara text,mara calls sijui ujinga gani maana mumewe atamsanukia.
5. Hawezi kukuuliza maswali ya kijinga jinga kama hivi kweli unanipenda, unanijali au hutoniacha.
6. Hawana usumbufu wa vibomu visivyo na maana, eti mara sina vocha, niungie kifurushi kwako hayo hayapo.
7. Wanapatikana wanapohitajika na kama kabanwa anatoa reasonable excuses.
8. Hakuulizi utamuoa lini na malalamiko ya kijinga kijinga.
9. Hawana shida kushare mwanaume, yaani hakubani  kama una mpenzi wako mwingine anakuruhusu uwe nae ili mradi atakapokuhitaji upatikane bila shida.
10. Ukiwa na shida ndogo ndogo anakusaidia kutatua.
11. Ukimpa mimba anamsingizia mume wake
UKISHIKWA KWENYE MKONO WA MUMEWE MIMI NITAKUWA NIPO MTANDAONI.


ANGALIZO:  Jiheshimu, mke wa mtu  si wa kuchezea,  kimaadii si jambo jema na  si  ustarabu! 
                     

No comments:

Post a Comment